Amboni Tanga: Watu 8 Wauawa kwa Kufichua vitendo vya Kihalifu
Watu kadhaa wa kijiji cha Mikocheni karibu na mapango ya Amboni mkoani Tanga wameuawa usiku wa kuamkia leo.
Inasemekana watu waliouawa wanadaiwa kufichua vitendo vya uhalifu kijijini hapo na kwamba miili ya watu hao waliouawa imepelekwa hospitali ya rufaa ya Mkoani humo.
BONYEZA HAPA >> REAL MADRID YAZIDI KUTABA BARANI ULAYA
Chanzo : Radio One.
Comments
Post a Comment