Hoja ya Dharura Wanachuo 7000 UDOM: Naibu Spika Aahirisha Bunge Baada ya Wabunge Kwa Pamoja Kutoka nje

Bunge limechafuka muda huu baada ya Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nasari kuomba mwongozo wa kujadili hoja ya wanafunzi zaidi ya 700 waliofukuzwa chuoni ijadiliwe kama hoja ya dharura.

Naibu spika akaendeleza ubabe hivyo wabunge wa vyama vyote walisimama na kutoka nje.



Comments

Popular posts from this blog

Mtoto wa Miaka minne Auawa, Atupwa Kisimani

MOURINHO KUWAPIGA BEI WACHEZAJI 13 MAN UNITED

MWANAFUNZI Anusurika Kifo Baada ya Kukatwa Mapanga na Mwalimu