AJALI MBAYA YATOKEA KARIBU KABISA NA UDOM


saa saba mchana hapo  chuo kikuu dodoma kwenye mlima maarufu uliopo karibu na jengo la CHIMWAGA uitwao mlima chimwaga kumetokea ajali mbaya ya gari la abiria baada ya kushindwa kupanda mlima,chanzo kamili cha ajali bado hakijapatikana.kwa taarifa zilizopatikana ni kwamba watu takribani kumi na sita hali zao si nzuri na wamekimbizwa kwenye hospital ya mkoa wa Dodoma GENERAL,taarifa kamili juu ya habari hiyo endelea kuwa nasi.




Comments

Popular posts from this blog

Mtoto wa Miaka minne Auawa, Atupwa Kisimani

MOURINHO KUWAPIGA BEI WACHEZAJI 13 MAN UNITED

MWANAFUNZI Anusurika Kifo Baada ya Kukatwa Mapanga na Mwalimu