VIDEO:Mr. Blue: Mimi Ndio nilimtoa Alikiba, Bangi ilisababisha nidrop kimuziki



Mr. Blue amesema kuwa yeye ndio aligundua kipaji cha Ali Kiba na kuamua kumpeleka studio. Pia ameongeza na kusema kuwa alikuwa anavuta sana bangi ndio sababu kubwa iliyomfanya ashuke kimuziki. 

Tazama Video Hapa Akifunguka

Comments

Popular posts from this blog

Nape aipa tano kurugenzi mawasiliano Ikulu, habari maelezo

Manchester United wasalia nambari 6 baada ya sare ya 1-1.

Mtoto wa Miaka minne Auawa, Atupwa Kisimani