Mtoto wa kike, Rahila Salim Ali (4) amekutwa amekufa huku mwili wake ukiwa umening’inizwa kisimani na vidole vya mikono vikiwa vimekatwa na mashavu kuchubuliwa. => AJALI MBAYA YA BASI ILIYOTOKEA HII HAPA Tukio hilo limetokea jana asubuhi, katika eneo Njiapanda, Mbagala, Temeke baada ya mtoto huyo kutoweka nyumbani siku nne zilizopita. Akizungumzia tukio hilo, mama mzazi wa mtoto huyo, Raziah Ramadhani alisema binti yake alitoweka nyumbani saa tano asubuhi, wakati wakiwa pamoja wakitazama televisheni. “Alitoka nje kama anaenda kucheza na wote hatukuwa na wasiwasi. Baada ya saa moja tulishtuka baada ya kutomuona, hivyo ikabidi tuanze kumtafuta,” alisema. Alisema walitoa taarifa polisi na kwenye baadhi ya vyombo vya habari bila mafanikio hadi jana mwili wake ulipokutwa umening’inizwa kwenye kisima cha nyumba ya jirani yao. “Nilipofika nilishangaa kuona nguo zake ni kavu na ana majeraha,” alisema. ANGALIA AJALI MBAYA YA BASI =>BONYEZA HAPA Alisema kisima hicho kina tundu d...
Comments
Post a Comment