Mtoto wa kike, Rahila Salim Ali (4) amekutwa amekufa huku mwili wake ukiwa umening’inizwa kisimani na vidole vya mikono vikiwa vimekatwa na mashavu kuchubuliwa. => AJALI MBAYA YA BASI ILIYOTOKEA HII HAPA Tukio hilo limetokea jana asubuhi, katika eneo Njiapanda, Mbagala, Temeke baada ya mtoto huyo kutoweka nyumbani siku nne zilizopita. Akizungumzia tukio hilo, mama mzazi wa mtoto huyo, Raziah Ramadhani alisema binti yake alitoweka nyumbani saa tano asubuhi, wakati wakiwa pamoja wakitazama televisheni. “Alitoka nje kama anaenda kucheza na wote hatukuwa na wasiwasi. Baada ya saa moja tulishtuka baada ya kutomuona, hivyo ikabidi tuanze kumtafuta,” alisema. Alisema walitoa taarifa polisi na kwenye baadhi ya vyombo vya habari bila mafanikio hadi jana mwili wake ulipokutwa umening’inizwa kwenye kisima cha nyumba ya jirani yao. “Nilipofika nilishangaa kuona nguo zake ni kavu na ana majeraha,” alisema. ANGALIA AJALI MBAYA YA BASI =>BONYEZA HAPA Alisema kisima hicho kina tundu d...
KOCHA Jose Mourinho yupo tayari kuuza hadi wachezaji 13 wa kikosi cha kwanza Manchester United kwa mujibu wa El Confidencial . Meneja mpya wa United ameripotiwa kukutana na Mkurugenzi Ed Woodward Ijumaa kujadili mipango yake ya usajili kuelekea kampeni za 2016/17 na ameorodhesha msururu wa wachezaji ambao hawana tija. Juan Mata , Ander Herrera na Memphis Depa y wanaongoza katika orodha, wakati Bastian Schweinsteiger , Marouane Fellaini , Ashley Young , Michael Carrick , Marcos Rojo na Sergio Romero wapo katika hatari ya kuuzwa. Hata mustakabali wa Luke katika Old Trafford yupo hatarini kutemwa, ipo wazi kwamba Mourinho anataka kumtoa kwa mkopo baada ya kukosa karibu msimu mzima kwa kuvunjika mguu. MustakabaliI Wa Antonio Valencia na Matteo Darmian upo shakani hali kadhalika. Mchezaji mmoja tu ndo hayupo kwenye hatari ya kuoneshwa mlango wa kutokea,David De Gea ambaye inafahamika kuwa Mourinho anataka kumbakisha Old Trafford. TUPE MAONI YAKO ZAIDI TEMBELEA>>> ...
MWANAFUNZI Marco Limbe(14) aliyemaliza darasa la saba mwaka huu katika shule ya msingi Yitwimila iliyoko kata ya kiloleli wilaya ya Busega mkoani Simiyu amelazwa katika kituo cha afya Busega mara baada ya kuchalangwa mapanga kichwani na mdomoni na mwalimu wake. Tukio hilo limetokea jana majira ya saa 11.30 jioni wakati mwanafunzi huyo alipokuwa akirejea nyumbani kwao akitokea katika malisho ya mifugo ndipo alipokaribia katika shamba la mwalimu Pendo Gabriel ndipo mwalimu huyo alimkamata kijana huyo na kuanza kumchalanga kwa panga na kupelekea kijana limbe kupoteza fahamu kwa muda wa masaa 6 mara baada ya kufikishwa katika kituo cha afya Busega. “Shuhuda wa tulio hilo aliyejitambulisha kwa jina moja tu la Manoga anaeleza kuwa ilikuwa kama mchezo lakini kumbe ni kweli kwani niliona mifugo ya limbe iliyokuwa ikielekea nyumbani na huku limbe akiwa nyuma ya mifugo hiyo katika barabara ambalo liko karibu na maeneo ya shule ghafla nilimuona mwalimu pendo wakishikana na kijana huyo na nd...
Comments
Post a Comment