PICHA: Michepuko sio dili jamaa achezea kichapo chamaana!

Mkiambiwa michepuko sio dili nyie mnakomaa mnajiona vidume kuwa na warembo wengi.. katika hali ambayo iliwashangaa watu wengi na kuwaacha midomo wazi wakazi wa mji wa kigamboni ni pale jamaa mmoja sharobaro mzuri tu alipochezea kichapo baada yakugonganisha magari,, hapa wanaume viwembe mnaelewa naposema kugonganisha magari..
MICHEPUKO SIO DILI BAKI NJIA KUU

BONYEZA HAPA CHINI KUONA JINSI VIRUSI VYA ZIKA VINYOSAMBAA NAKUTESA MAELFU YA WATU!

Comments

Popular posts from this blog

Nape aipa tano kurugenzi mawasiliano Ikulu, habari maelezo

Manchester United wasalia nambari 6 baada ya sare ya 1-1.

Mtoto wa Miaka minne Auawa, Atupwa Kisimani