STAA ALIKIBA ASHINDA TUZO MBILI HUKO USA



staa Alikiba ambaye kwa sasa yupo chini ya Sonny Music ameshinda tuzo mbili katika tuzo za Holly Wood $ African People's Choice zinazofahamika kama THE NAFCA zilizofanyika Califonia USA, Alikiba alikuwa akiwania tuzo hizo katika vipengele viwili 'Favorite Artist of the year'na Favorite song of the year.

Comments

Popular posts from this blog

MREMBO GIGY MONEY AFANYA KUFURU NYINGINE

Hamorapa kuhusu Ishu ya kumpigia Alikiba Magoti .