Watu 30 Wauawa Kinyama Mashariki mwa Congo DRC

Ripoti kutoka Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo DRC zinasema kuwa wanajeshi wamepata miili ya takriban raia 30 waliouawa katika shambulizi mashariki mwa taifa hilo.

Msemaji wa jeshi Mark Azuray ameambia shirika la habari la AFP kuwa mauaji hayo yalitokea katika mji wa Beni nyakati za usiku.
Wanajeshi wanashuku kuwa kundi la wanamgambo la ADF lilitekeleza mauaji hayo.


ADF ni kundi la kujihami lililo na asili yake nchini Uganda, na linaendeleza shughuli zake karibu na mpaka.

SOMA CHANZO CHA BIFU LA VERA NA HUDDAR, BONYEZA HAPA CHINI.

Comments

Popular posts from this blog

Mtoto wa Miaka minne Auawa, Atupwa Kisimani

MOURINHO KUWAPIGA BEI WACHEZAJI 13 MAN UNITED

MWANAFUNZI Anusurika Kifo Baada ya Kukatwa Mapanga na Mwalimu