Eric Bailly atakuwa nje ya uwanja kwa miezi miwili

Mchezaji wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya Ivory Coast, Eric Bailly atakuwa nje ya uwanja kwa miezi miwili baada ya kuumia goti.
Hili ni pigo kwa Jose Mourinho ambaye Bailly amekuwa ni beki tegemezi katika kikosi chake cha United.

Comments

Popular posts from this blog

Nape aipa tano kurugenzi mawasiliano Ikulu, habari maelezo

Manchester United wasalia nambari 6 baada ya sare ya 1-1.

Mtoto wa Miaka minne Auawa, Atupwa Kisimani