Show ya Diamond Malawi Yafana Licha ya Mvua Kubwa Kunyesha


Licha ya mvua kubwa kunyesha, Diamond amefanikiwa kupiga show iliyofana kwenye Sand Music Festival iliyofanyika kwenye fukwe za Living stone Jumamosi hii.

Mpiga picha wake, Kifesi amedai kuwa mvua kubwa ilinyesha na kulazimu show yake kusimama kwa muda. Hata hivyo mashabiki waliokuwa na hamu kumuona akitumbuiza, walisubiri hadi ilipokata.

Kwenye picha hii Kifesi ameandika: Picha juu ni usiku watu wakiwa na shauku ya Diamond but mvua ikanyesha, but walingoja hadi hali ilipotulia.. Picha chini na alfajiri saa 12 hali ilipotulia na Diamond kupanda na hakuna alokua kuchoka or kuondoka

Kwenye show hiyo Diamond alitumbuiza live. Hizi ni picha zaidi:

Comments

Popular posts from this blog

MREMBO GIGY MONEY AFANYA KUFURU NYINGINE

Hamorapa kuhusu Ishu ya kumpigia Alikiba Magoti .