Cristiano Ronaldo anarejea nyumbani Sporting Lisbon akiwa na kiatu maalum

14796665299051
Mchezaji Cristiano Ronaldo leo atavaa viatu maalum vyenye tarehe ya 8/6/2003 ikiwa na kumbukumbu ya siku maisha yake ya soka yalipobadilika baada ya kuichezea Sporting Lisbon katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Manchester United.
Baada ya mechi hiyo, Man United wakiwa wamelala kwa mabao 3-1, Kocha Alex Ferguson alimueleza Ronaldo kwamba anamhitaji ajiunge na Man United.
Real Madrid itakuwa ugenii dimbani ikiivaa Sporting Lisbon katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Cristiano Ronaldo atakuwa na furaha zaidi kwa kuwa atakuwa anarejea nyumbani tena, lakini safari hii akiwa na kiatu maalum.

Comments

Popular posts from this blog

Mtoto wa Miaka minne Auawa, Atupwa Kisimani

MOURINHO KUWAPIGA BEI WACHEZAJI 13 MAN UNITED

MWANAFUNZI Anusurika Kifo Baada ya Kukatwa Mapanga na Mwalimu