Dela adai amekuwa kama mwalimu wa Kiswahili baada ya cover ya Hello

14716499_324432134595708_412701504802127872_n
Muimbaji wa Kenya Adeline Maranga aka Dela aliyewahi kufanya cover ya wimbo wa ‘Hello’ wa Adele amesema kuimba kwa Kiswahili kwenye wimbo huo kumemuongezea umaarufu zaidi na sasa amekuwa kama mwalimu wa lugha hiyo.

Dela amemuambia mtangazaji wa BBC, Zuhura Yunus kuwa amepata comment nyingi kutoka kwa mashabiki ambao wengi wanatamani kujifunza Kiswahili baada ya kuusikia wimbo huo.
“Kuna watu hata ukiangalia comment zao kwenye Youtube wanasema kwamba hawajui Kiswahili lakini sasa wanataka kujifunza Kiswahili au wanasema mimi ni mwanafunzi wa Kiswahili hapa America na nitawaimbia wanafunzi wenzangu huu wimbo. Pia na mimi nimekuwa mwalimu kwa njia ya Kiswahili,” amesema Dela.

Comments

Popular posts from this blog

MREMBO GIGY MONEY AFANYA KUFURU NYINGINE

Hamorapa kuhusu Ishu ya kumpigia Alikiba Magoti .