MPAMBANO WA WACHEZAJI



 
.Sio muziki hata wachezaji pia kuna mpambano wachezaji ambao kwa wanamichezo tunasema mpambano wa wasanii leo hii tunawakutanisha .

SERGIO AGUERO DHIDI YA DIEGO COSTA

Wote hawa wanacheza sehemu moja ya kwa maana wanacheza nafasi ya ushambuliaji kila mmoja anacheza kwa uwezo wake na umahiri mkubwa hivyo kila mmoja apewe nafasi yake na heshima yake kama mshambuliaji.
download

DIEGO COSTA

Anauwezo wa kufunga pale anapopata nafasi ya kufunga magoli yake mengi hajawahi kufunga nje ya 18 mengi akiwa ndani lakini yanaleta faida kwa timu kwa sasa ana magoli 13 na ndiye anayeongoza kwa ufungaji wa mabao pale Chelsea na EPL . Udhaifu wake nikuwa na hasira sana pindi anapokuwa na ghadhabu ila kidogo msimu huu amepunguza na ndio maana anafanya vizuri sana kikosini.

Manchester City's Argentinian striker Sergio Aguero scores the opening goal from the penalty spot during the English Premier League football match between Stoke City and Manchester City at the Bet365 Stadium in Stoke-on-Trent, central England on August 20, 2016. / AFP / Lindsey PARNABY / RESTRICTED TO EDITORIAL USE. No use with unauthorized audio, video, data, fixture lists, club/league logos or 'live' services. Online in-match use limited to 75 images, no video emulation. No use in betting, games or single club/league/player publications. / (Photo credit should read LINDSEY PARNABY/AFP/Getty Images)
Je nani unamuona mkali kati ya hao kwa kuzingatia uwezo  wake na nani unamuona anafaa ? Sina jibu sahihi wewe utaweza kuwa jaji uli useme nani zaidi.????

Comments

Popular posts from this blog

Mtoto wa Miaka minne Auawa, Atupwa Kisimani

MOURINHO KUWAPIGA BEI WACHEZAJI 13 MAN UNITED

MWANAFUNZI Anusurika Kifo Baada ya Kukatwa Mapanga na Mwalimu