NDEGE Yapotea Angani na Abiria 91

 
Ndege ya Jeshi la Urusi, Tu-154 iliyokuwa ikielekea Syria yapotea kwenye Rada muda mfupi baada ya kupaa. Ilikuwa na abiria 91.

Asilimia kubwa ya waliokuwa kwenye ndege hiyo ni Wafanyakazi wa Wizara ya Ulinzi ya Urusi

Comments

Popular posts from this blog

Nape aipa tano kurugenzi mawasiliano Ikulu, habari maelezo

Manchester United wasalia nambari 6 baada ya sare ya 1-1.

Mtoto wa Miaka minne Auawa, Atupwa Kisimani