DJ Khaled ametangaza ujio wa colabo yake na Drake

     
DJ Khaled ametangaza ujio wa colabo yake na Drake, wimbo huu umeitwa “To the Max.” na kava la wimbo ni picha ya mtoto wa kiume wa Dj Khaled ‘Asahd’.


Wimbo huu upo kwenye album ya Dj Khaled Grateful ,humo watasikika wasanii kama from Beyoncé, Jay Z, Drake, Justin Bieber, Chance the Rapper, Lil Wayne, Quavo, na ,Rihanna.

Comments

Popular posts from this blog

Nape aipa tano kurugenzi mawasiliano Ikulu, habari maelezo

Manchester United wasalia nambari 6 baada ya sare ya 1-1.

Mtoto wa Miaka minne Auawa, Atupwa Kisimani