DJ Khaled ametangaza ujio wa colabo yake na Drake

     
DJ Khaled ametangaza ujio wa colabo yake na Drake, wimbo huu umeitwa “To the Max.” na kava la wimbo ni picha ya mtoto wa kiume wa Dj Khaled ‘Asahd’.


Wimbo huu upo kwenye album ya Dj Khaled Grateful ,humo watasikika wasanii kama from Beyoncé, Jay Z, Drake, Justin Bieber, Chance the Rapper, Lil Wayne, Quavo, na ,Rihanna.

Comments

Popular posts from this blog

MREMBO GIGY MONEY AFANYA KUFURU NYINGINE

Hamorapa kuhusu Ishu ya kumpigia Alikiba Magoti .