Jarida la PEOPLE na TMZ wameripoti kuwa Beyonce na Jay Z wamepata watoto mapacha.

Tovuti ya TMZ imeripoti mapema leo kuwa Beyonce na Jay Z wamepata watoto mapacha.

Hii imekuwa stori kubwa wiki nzima huku mashabiki wakisubiri lini Beyonce atajifungua. Watoto hao wawili wa The Carters wamezaliwa kwenye hospitali mjini Los Angeles.

Mpaka sasa haijulikani jinsia za watoto hao, palikuwa na tetesi ni mvulana na msichana, ila hakuna ushahidi tosha wa kupitisha hilo…


Jay Z na Beyonce tayari wana mtoto wa miaka mitano, Blue Ivy

 

Comments

Popular posts from this blog

MREMBO GIGY MONEY AFANYA KUFURU NYINGINE

Hamorapa kuhusu Ishu ya kumpigia Alikiba Magoti .