Makontena Mawili Yakamatwa Bandari Kavu AMI Dar na Madawa ya Kulevya..!!!

bbbbbbbbbbbbbbb 

Katika hali ya kushangaza makontena mawili yamekamatwa bandari kavu AMI Dsm yakiwa na material zakutengenezea madawa ya kulevya yaliyoagizwa na kupakiwa toka india kwa meli za CMA. Maajabu ni kwamba makontena hayo yamepitaje bandari zote mbili, India na Dsm bila kuonekana kwenye vifaa vya kitaalam bandarini humo?

Comments

Popular posts from this blog

Mtoto wa Miaka minne Auawa, Atupwa Kisimani

MOURINHO KUWAPIGA BEI WACHEZAJI 13 MAN UNITED

MWANAFUNZI Anusurika Kifo Baada ya Kukatwa Mapanga na Mwalimu