Michelle Rodriguez atishia kuaga filamu za Fast & Furious

Mwigizaji maarufu HollyWood Michelle Rodriguez ametishia kuaga filamu za Fast & Furious kupitia IG yake huku mashabiki wakimwaga comment za kumuomba asiondoke.

Michelle Rodriguez amekuwa na filamu hizi toka mwazo wa The Fast & the Furious, ila kuna tetesi kuwa anaweza asirudi tena kwenye toleo la 9 na 10.


Michelle Rodriguez  aliandika hivi kwenye IG yake “F8 is out digitally today, I hope they decide to show some love to the women of the franchise on the next one. Or I just might have to say goodbye to a loved franchise,It’s been a good ride & Im grateful for the opportunity the fans & studio have provided over the years… One Love.” Akimaanisha >> F8 imetoka digitally leo, nategemea watatuonyesha mapenzi zaidi waigizaji wa kike kwenye toleo lijalo lasivyo nitabidi niache filamu inayopendwa zaidi, nashukuru kwa nafasi niliyopewa na studio hii, mashabiki, One Love“
Fast & the Furious 9 na 10 zimesha dhibitishwa kutolewa April 19, 2019, na F10 itatoka April 2, 2021

Comments

Popular posts from this blog

Nape aipa tano kurugenzi mawasiliano Ikulu, habari maelezo

Manchester United wasalia nambari 6 baada ya sare ya 1-1.

Mtoto wa Miaka minne Auawa, Atupwa Kisimani