Msanii wa Wcb Harmonize aachia Picha ya Mpenzi wake Mpya.

Baada ya Kuachana na mrembo wa filamu Tanzania Jacqueline Wolper, ilisemekana kuwa WCB super staa Harmonize anampenzi mpya, mzungu , ana pesa, kamnunulia gari Harmonize na anamjengea jumba kubwa huko Madale

Comments

Popular posts from this blog

MREMBO GIGY MONEY AFANYA KUFURU NYINGINE

Hamorapa kuhusu Ishu ya kumpigia Alikiba Magoti .