Msanii wa Wcb Harmonize aachia Picha ya Mpenzi wake Mpya.

Baada ya Kuachana na mrembo wa filamu Tanzania Jacqueline Wolper, ilisemekana kuwa WCB super staa Harmonize anampenzi mpya, mzungu , ana pesa, kamnunulia gari Harmonize na anamjengea jumba kubwa huko Madale

Comments

Popular posts from this blog

Nape aipa tano kurugenzi mawasiliano Ikulu, habari maelezo

Diva Azungumzia Mabusu yake na GK Yaliyozua Mjadala Mtandaoni