Picha,Nicki Minaj na Blac Chyna wakifanya video ya wimbo mpya ‘Rake It Up’…

Nicki Minaj na Blac Chyna wameigiza kama wapo kwenye filamu ya Fast & Furious wakati wakifanya video ya ‘Rake It Up’ huku wakitumia magari makali aina ya Lamborghini na  Ferrari.


Nicki Minaj amefanya vipande vyake vya wimbo wa ‘Rake It Up’ akiwa na wasanii Yo Gotti na Mike WiLL Made-It.

Comments

Popular posts from this blog

MREMBO GIGY MONEY AFANYA KUFURU NYINGINE

Hamorapa kuhusu Ishu ya kumpigia Alikiba Magoti .